February mwaka huu, Kanye alitangaza:
My album will never never never be on Apple. And it will never be for sale… You can only get it on Tidal.
Kwa mujibu wa Rhett, uongo huo ulifanyika ili kuipa kiki Tidal iliyokuwa ikipumulia mashine. Albamu hiyo iliongeza watumiaji wa mtandao huo maradufu. Kanye ni miongoni mwa wamiliki wa Tidal, pamoja na Jay Z, Beyoncé, Madonna, Rihanna, J. Cole, na Nicki Minaj.
Rhett anataka alipwe fidia.
0 comments:
Post a Comment