Muingereza Joshua alimpeleka chini mpinzani wake huyo Mmarekani Martin kwa ngumi nzito ya mkono wa kulia, baada ya Martin kuangushwa tena na refa kulazimika kumaliza pambano hilo.
Bondia Anthony Joshua akimpiga konde la kulia Charles Martin
Kombora la Joshua likiwa limemuangusha chini Martin
Refa akimuhesabia muda Charles Martin ambaye hajitambui vyema kwa kipigo
You might also like:
0 comments:
Post a Comment