Baada ya Atletico na Real Madrid zote kushinda michezo ya jana, Barcelona ipo kileleni ikiongoza kwa tofauti ya pointi 3 dhidi ya Atletico na pointi nne dhidi ya Real Madrid huku ikiwa imebakia michezo sita ligi kuisha.
Neymar akijaribu kufanya vitu vyake lakini hata hivyo jahazi lilitota
Maumivu ya kichwa huanza taratibu: Lionel Messi akishika kichwa baada ya Barcelona kupata kipigo
0 comments:
Post a Comment