Marudio ya uchaguzi mkuu Zanzibar ni keshokutwa tu, Jaji mkuu wa Zanzibar kaongea haya

kiwa siku bado zinahesabika kuelekea uchaguzi mkuu wa marudio visiwani Zanzibar, March 16 jaji Mkuu wa Zanzibar Omary Othman amefunguka na kueleza mambo kadhaa kuelekea uchaguzi huo ambao unategemewa kufanyika March 20 2016.
“Sisi kama mahakama ya Zanzibar tupo vizuri, kiukweli katika kazi yoyote ile hakukosi changamoto, licha ya kuwa kiutendaji tunaendelea vizuri, kuhusu suala la uchaguzi mtu kushiriki au kutoshiriki hilo ni swala lake mwenyewe binafsi huwezi kumlazimisha” >>>Jaji Omary
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment