UMOJA WA WASANII WA FANI MBALIMBALI WAMTANGAZA RAIS DR. JAKAYA KIKWETE KUWA SHUJAA WA SANAA YA MUZIKI NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City  katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za wasanii wa muziki pamoja na Bongomovie na pia alikubali kuwa mlezi wa tasnia hizo na kuhakikisha mambo yanakwenda sawa ndani ya tasnia hizo mbili adhimu kwa sasa hapa nchini.


Mwanadada Wema Sepetu akimtunza midola Dkt John Magufuli alipokuwa akipiga ngoma jukwaani kwa ustadi mkubwa.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSX1c4vXFWN1QyRDxavvJ5IvEHqzzrqnmiwhCIzaSgnqSN5w7yBlF88_D9qmzTVgVe-Isl4J8kagb57_CLWY8CAquagBx_zqFe93KOcukc8W1HvwQjTW0p_Se5cxdTI2Hqp7JIIDWpv8f5/s1600/_MG_2408.jpg


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjHKYvDVeEF0K9K00h5bgIgDADdMnmOZ5_XrdX9X_mk09AycUfTh5vUsKrL2Qo3AtscOxFl6ZGrCy_8alApE6Rc23pHj9d6ivRkCxQ48DOYJBZU85b_9d8Ki3gXCcvqvtXph3PHUWxQFiOG/s1600/_MG_2403.jpg 

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjSAAkQ8XSYzLkzRTXBMG5RLeBd6MN2APJvO6IRCuy2cddle6UNijnKeRXFcmXebVFAO62IK-t7QhhuCBR4qVJCWhXVh4r1EE6UK6t_cRFHdZrS3Y2ZvX4VJqsD_iBx0F08jvC6ue2YJKaI/s1600/_MG_2252.jpgTuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share



Tokeo la picha la twitter

comment
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment