Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete akizungumza
mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya
ukumbi wa Mlimani City katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na
Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia
tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea
wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete
alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za wasanii wa
muziki pamoja na Bongomovie na pia alikubali kuwa mlezi wa tasnia hizo
na kuhakikisha mambo yanakwenda sawa ndani ya tasnia hizo mbili adhimu
kwa sasa hapa nchini.
Mwanadada Wema Sepetu akimtunza midola Dkt John Magufuli alipokuwa akipiga ngoma jukwaani kwa ustadi mkubwa.
0 comments:
Post a Comment