Ubalozi wa China na Kampuni ya ujenzi wa reli waandaa sherehe ya ushirikiano wa ujenzi wa reli Kenya

 

Ubalozi wa China nchini Kenya kwa kushirikiana na Kampuni ya ujenzi ya China CRBC, inayojenga reli ya kisasa kutoka Mombasa kwenda Nairobi wameandaa sherehe maalum za kuadhimisha ushirikiano jadi baina ya Kenya na China katika mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa. Sherehe hizi zimefanyika jijini Nairobi maalum ili kutambua mafanikio yaliyopatikana kwenye ujenzi wa mradi huo.

P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 






Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment