Shughuli ya kuzika mabaki ya zaidi
ya watu arobaini imefanyika katika eneo lililojitangazia uhuru la
Somaliland. Mabaki hayo yalipatikana katika kaburi moja
Mifupa hiyo ilipatikana wakati mitaro ya mabomba ya maji ilipokuwa ikichimbwa katika mji mkuu Hargeisa.Inaaminika watu hao waliuawa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyotokea mwaka elfu moja mia tisa themanini na nane.
Idadi kubwa ya watu hao walikuwa watoto na akina mama.
Waliuawa wakati wa mashambulio ya mabomu yaliyofanyika mjini Hargeisa wakati huo ambapo vita vya wenyewe kwa wenyewe vilikuwa vikiendelea.
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment