Mabaki ya watu 40 yazikwa Somaliland


Shughuli ya kuzika mabaki ya zaidi ya watu arobaini imefanyika katika eneo lililojitangazia uhuru la Somaliland. Mabaki hayo yalipatikana katika kaburi moja
Mifupa hiyo ilipatikana wakati mitaro ya mabomba ya maji ilipokuwa ikichimbwa katika mji mkuu Hargeisa.
Inaaminika watu hao waliuawa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyotokea mwaka elfu moja mia tisa themanini na nane.
Idadi kubwa ya watu hao walikuwa watoto na akina mama.
Waliuawa wakati wa mashambulio ya mabomu yaliyofanyika mjini Hargeisa wakati huo ambapo vita vya wenyewe kwa wenyewe vilikuwa vikiendelea.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 






Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment