TAMASHA la
manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored
PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo
Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored
PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo
Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo
linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika
jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo
wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika
jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo
wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya
Pop Up duniani kote yanafanya mauzo ya rejareja kwa kuwapa wateja uzoefu wa
manunuzi mbadala na wa ubunifu ambao ni tofauti kwa maduka ya rejareja
yaliyozoeleka.
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos
Pop Up duniani kote yanafanya mauzo ya rejareja kwa kuwapa wateja uzoefu wa
manunuzi mbadala na wa ubunifu ambao ni tofauti kwa maduka ya rejareja
yaliyozoeleka.
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos




0 comments:
Post a Comment