Tamasha la manunuzi kufanyika Dar Jmosi



TAMASHA la
manunuzi maarufu kama Pop Up Bongo, ambalo limeandaliwa na kampuni ya Studiored
PR linatarajiwa kufanyika Jumamosi (Agosti 29) katika baa ya Triniti iliyopo
Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia saa 8 mchana hadi 2 usiku.
Tamasha hilo
linalodhaminiwa na kampuni ya Smirnoff, ni la kwanza na la aina yake kufanyika
jijini ambapo linafungua duka la muda mfupi la manunuzi ya rejareja ambapo

wanunuaji watapata fursa kwa siku moja tu katika eneo maalum.
Maduka ya
Pop Up duniani kote yanafanya mauzo ya rejareja kwa kuwapa wateja uzoefu wa
manunuzi mbadala na wa ubunifu ambao ni tofauti kwa maduka ya rejareja
yaliyozoeleka.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment