MAMA SAMIA, LONGIDO NA MONDULI

sam1
Mgombea mwenza kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akihutubia mkutano wa hadhara leo katika eneo la Namanga, Longido mkoani Arusha leo. (Picha zote na Bashir Nkoromo)
sam2
sam3
Mbunge wa Afrika Mashariki, Agela Kizigha, akizungumza na kina mama wa eneo la Madukani, Longido mkoani Arusha leo. wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea wenza wa urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan.
sam4
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akihutubia mkutano wa hadhara leo katika jimbo la Monduli, mkoani Arusha leo.
sam5
Mgombea Ubunge wa Monduli kwa tiketi ya CCM, Namelock Sokoine, akihutubia katika mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan uliofanyika leo.
sam6
Kina mama wa kimasai wakionyesha furaha yake, baada ya Mgombea mwenza kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan kuwasili kwenye mkutano wa hadhara katika jimbo la Monduli leo.
sam7
Vijana wakifurahi kwneye mkutano wa kampeni katika jimbo la Monduli.
sam8
Mbunge anayemaliza mda wake, katika jimbo la Longido, Lekule Laizer, akimnadi mgombea ubunge wa jimbo hilo, Dk. Steven Lemomo katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Madukani, Longido mkoani Arusha leo.
sam9
Kijana akishangilia wakati mgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili eneo la Madukani, Longido mkoani Arusha leo kuhutubia mkutano wa kampeni.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment