PETR CECH AWANYIMA MABAO CHRISTIAN BENTEKE NA PHILIPPE COUTINHO

Petr Cech ameonyesha kuwa bado ni kiwango licha ya kutemwa na Chelsea, baada ya jana kupangua michomo kutoka kwa Christian Benteke na Philippe Coutinho katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya Uingereza.

Katika mchezo huo ulioishia kwa sare tasa ya Arsenal 0-0 Liverpool, Aaron Ramsey alipachika bao wavuni lakini mwamuzi alilikataa katika uamuzi wa utata kwa madai kuwa alikuwa ameotea.
                             Petr Cech akichupa kupangua mpira uliopigwa na Benteke
                    Kipa Mignolet akipangua kwa ngumi mpira kumdhibiti Giroud
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 









Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment