MUME WA CELINE DION ATAKA KUFARIKI DUNIA MIKONONI MWA MKEWE

Mume wa mwanamuziki nyota Celine Dion, René Angélil amesema anataka afariki dunia akiwa kwenye mikono ya mkewe.

René mwenye umri wa miaka 73, anasumbuliwa na saratani ya kwenye koo, na anachotamani sasa kabla ya kukataa roho ni kuwa mikononi mwa mkewe Celine Dion.

Celine amenukuliwa akisema kuwa René alimuomba kuwa anataka afariki dunia akiwa mikoni mwake na yeye amekubali ombi hilo la mumewe mpenzi.

Wanandoa hao walioana kwa furaha mwaka 1994, na wanawatoto watatu ambao ni Nelson Angelil, Eddy Angelil, and René-Charles Angelil.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 









Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment