Muhubiri mwenye utata James Ng'ang'a ameshtakiwa kwa kusababisha kifo kupitia uendeshaji wa gari vibaya.
Bwana Ng'ang'a alipelekwa mahakamani chini ya usalama mkubwa kufuatia kukamatwa kwake hapo jana.
Muhubiri huyo atasalia chini ya mikono ya polisi hadi pale kesi yake ya kutaka kuachiliwa kwa dhamana itakaposikizwa na kuamualiwa siku ya ijumaa.
Pia alikana mashtaka mengine matatu ,ya kutoa habari za uongo kwa polisi,kufanya njama za kutaka kukwepa haki pamoja na kushindwa kuripoti ajali.
Wengine walioshtakiwa pamoja na muhubiri huyo ni maafisa wawili wa polisi,mmoja akituhumiwa kwa kujaribu kumsaidia kuficha ajali hiyo ambayo ilimuua mwanamke ,Mercy Njeri mwezi uliopita huku mwengine akituhumiwa kwa kujifanya kama mlinzi wake.
P yhaa tv come soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment