
Monaco
ya Ufaransa, walikuwa nyumbani kucheza dhidi ya Valencia. Hadi mwisho
wa mchezo huo Monaco imeibuka kidedea kwa jumla ya bao 2-1.
Hata
hivyo Valencia imefuzu hatua ya makundi kwa jumla ya bao 4-3, baada
kushinda bao 3-1 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza. Nayo Malmo FF
ikaiadhibu Celtic kwa jumla ya bao 2-0, na kusonga mbele kwa jumla ya
bao 4-3.
Manchester
utd itakua ugenini kucheza dhidi Club Brugge, huku Bayer Liverkusen
itamenyana na Lazio. CSKA Moscow itakipiga dhidi ya Sporting Lisbon.
RATIBA YA LEO
August 26
21:45
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment