Mchezaji wa Ligi Kuu Uingereza mbaroni kwa kosa hili


Asilimia kubwa ya sheria za kila nchi duniani huwa haziruhusu mtu kumtishia silaha au kumwambia maneno ambayo yatatafsirika kama kumtishia amani ya kumuua ni kosa kisheria hata kama umeongea kauli hiyo bila kumshikia silaha wala kitu chochote. 2B3A190C00000578-0-image-m-35_1439335348337
Mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal anayeichezea klabu ya West Ham United ya Uingereza Diafra Sakho anashikiliwa na polisi Uingereza baada ya kumtishia mpenzi wake kumuua. Diafra Sakho alikamatwa akiwa nyumbani kwake Hornchurch.
2B4BFC3100000578-3194410-image-a-8_1439373557624
Diafra Sakho akiwa na mpenzi wake Mya
Polisi bado hawajaweka wazi chanzo cha tatizo hilo. Sakho ambaye amejiunga na West Ham United ya Uingereza mwezi August mwaka jana akitokea katika klabu Metz ya Ufaransa na ameichezea West Ham United jumla ya mechi 26 na kufunga magoli 12.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 






Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment