ISIL walipua jengo la urithi wa dunia nchini SYRIA
Kikundi
cha kigaidi cha ISIL kimelipua moja ya majengo ya urithi wa dunia
linalojulikana kama hekalu la BAAL SHAMIN,kwenye mji wa kihistoria wa
PALMRYA NCHINI SYRIA
Kikundi cha kigaidi cha ISIL kimelipua moja ya majengo ya
urithi wa dunia linalojulikana kama hekalu la BAAL SHAMIN,kwenye mji wa
kihistoria wa PALMRYA NCHINI SYRIA.
Kwa mujibu wa mhifadhi wa mambo ya kale wa SYRIA,MAAMOUN ABDULKARIM,amesema kuwa hekalu hilo lililokuwa na zaid ya miaka elfu mbili,limelipuliwa wanamgambo hao, baada ya kuweka milipuko mingi katika hekalu hilo.
Ulipuaji wa majengo ya kihistoria unaofanywa na kundi hilo umeedelea nchini SYRIA ,ambapo JULAI mwaka huu kundi hilo,ililipua tena sanamu maarufu ya SIMBA WA ATHENA,na kugeuza makumbusho hiyo kuwa mahakama na gereza.
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos
Kwa mujibu wa mhifadhi wa mambo ya kale wa SYRIA,MAAMOUN ABDULKARIM,amesema kuwa hekalu hilo lililokuwa na zaid ya miaka elfu mbili,limelipuliwa wanamgambo hao, baada ya kuweka milipuko mingi katika hekalu hilo.
Ulipuaji wa majengo ya kihistoria unaofanywa na kundi hilo umeedelea nchini SYRIA ,ambapo JULAI mwaka huu kundi hilo,ililipua tena sanamu maarufu ya SIMBA WA ATHENA,na kugeuza makumbusho hiyo kuwa mahakama na gereza.
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment