mambo kumi yakufahamu kuhusu album ya Davido, hakuna msanii wa kike…


 

 Kama shabiki wa Davido na mfuatiliaji mzuri wa habari zake muziki wa Afrika kupitia sammisago.com. nimekuwekea mambo kuni yakufahamu kuhusu album ya ‘Baddest’ ya Davido.
1] Itatoka chini ya lebel ya Davido HKN Gang.
2] Inanyimbo 20
3] Nusu ya album imetayarishwa na producer wake ‘Shizzi’.
4] Album imehairishwa kutoka mara mbili June 8, 2015 na August 10, 2015.
5] Album ya ‘Baddest’ itatoka September 2015 ila hakuna tarehe mpaka leo.
6] Album ina hits zote za Davido kama  ‘Owo ni koko’, ‘The Sound’,na ‘Fans mi’ ft Meek Mill.
7] Album haina msanii wa kike aliyeshirikishwa.
8] Album ikitoka tu Davido ataanza ziara ya Uingereza na mjini London.
9] ‘Baddest’ ndio album yake ya kwanza baada ya kumaliza chuo June 7 2015, alihitimu kwenye chuo cha  Babcock ‘Department of Music’.
10] Davido atatoa album mwezi mmoja na Wizkid, September 2015.

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share








usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 

Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment