KUPITIA MTANDAO WA KIJAMII WA INSTAGRAM UMEWATAJA WANASOKA WATATU WENYE FOLLOWERS WENGI

Mtandao wa Instagram ni maarufu sana hivi sasa. karibia kila mtu maarufu anatumia mtandao huu. 
Hivi karibuni mtandao wa cosmopolitan.com ulitoa orodha ya watu maarufu wenye followers(wafuasi) wengi kwenye Instagram.
Kwenye hiyo orodha  mwanamuziki Beyonce anaongoza kwa kuwa na wafuasi milioni 42.7. 
Lakini kwa upande wa soka namba moja ni Neymar ambaye ana likes Milioni 29.4. Kwenye list ya dunia Neymar yupo namba 10.
Namba mbili kwa upande wa wanasoka ni Cristiano Ronaldo ana wafuasi Milioni 26.1, kwa upande wa dunia yupo nafasi 13.
Namba tatu kwa upande wa wanasoka ni Leo Messi ana wafuasi Millioni 22.3 na kwa dunia yupo namba 18.

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share






 
Share



usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 

Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment