
Iwapo mama hatomnyonyesha mtoto kwa siku kadhaa kama alipata safari au kuumwa basi atakapo kuja mnyonyesha tena mtoto anaweza yakataa kunyonya!
Au iwapo akanyonya anaweza umwa tumbo au kuhara ila kumbuka watoto hutofautiana mwingine anaweza asipatwe na yote hayo na akanyonya kama kawaida.
Ikatokea ameyakaata
kamua(pump) toa yale ya mwanzo utaona yanarangi ya njano,mazito na yana
nata nata mkononi na kutoa kiharufu.
Kamua mpaka upate yale MAZIWA ya kawaida yenye rangi nyeupe ,jisafishe vizuri ndio umnyonyeshe,kwa wale wanaofanya kazi pia ukirudi nyumbani mtoto hataki nyonyo na ananjaa jaribu kutoa yale ya mwanzo ndio umnyonyeshe tena.
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos
Kamua mpaka upate yale MAZIWA ya kawaida yenye rangi nyeupe ,jisafishe vizuri ndio umnyonyeshe,kwa wale wanaofanya kazi pia ukirudi nyumbani mtoto hataki nyonyo na ananjaa jaribu kutoa yale ya mwanzo ndio umnyonyeshe tena.
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment