Korea zote mbili zaanza mazungumzo


Mazungumzo kati ya Korea Kaskazini na kusini kujaribu kuzuia makabaliano eneo la mpaka yamerejelewa tena.
Mazungumzo hayo yalihairishwa baada ya kuendelea hadi Jumamosi usiku. Hakuna taarifa zozote zilizoibuka kutoka kwa mazungumzo hayo.
Lakini mwandishi wa BBC mjini Seoul anasema kuwa sababu kuwa mazungumzo hayo yalichukua saa nyingi, kuna matumaini kuwa hali iliyo sasa inaweza kutatuliwa.
Walikubaliana kafanya mazungumzo muda mfupi kabla ya muda wa mwisho uliokuwa umetangazwa na Korea Kaskazini wa kutaka matangazo ya propaganda kutoka Korea Kusini kuzimwa.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 









Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment