Cristiano Ronaldo kanunua jumba hili la kifahari New York

 Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno ambaye anaichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo amefanikiwa kununua jumba la kifahari lililopo katika mji wa New York Marekani kwa dola za kimareka milioni 18 ambazo ni zaidi ya bilioni 30 za Kitanzania.

Ronaldo-main
Inaripotiwa kuwa wazo la Ronaldo kununua nyumba hiyo alilipata kutoka katika novel ya ’50 Shades of Grey’ hata hivyo ununuaji wa nyumba hiyo kwa Ronaldo unaongeza uvumi kuwa huenda ana mapngo wa kwenda kucheza katika Ligi Kuu Marekani kabla hajastaafu soka.
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (2)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (1)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment
Trump-Tower-on-Fifth-Avenue
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (6)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (5)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (4)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (3)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (9)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (8)
Ukiwa juu muonekano wa maeneo jirani
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (7)
Chumba cha kulala
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 









Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment