May 24 couple ya mastaa Kim Kardashian na Kanye West walitimiza mwaka mmoja wa ndoa yao tangu walipofunga mwaka jana huko Italy.
Wawili hao walitumia nafasi hiyo kuweka kwenye mitandao picha mbalimbali za harusi yao.
Mbali ya picha hiyo Kanye West leo
aliamua kuweka ujumbe mzuri kwenye mtandao wa Twitter ambao ulikua
maalum kwa ajili ya mkewe pamoja na mwanaye North West.
Ujumbe ulisomeka hivi..
0 comments:
Post a Comment