nani kama mama

Mama ni mama tu hata kama akiwa mlevi, hakukutunza, hakukulea, kichaa, mhuni au na kasoro nyingi atabaki kuwa mama yako na kamwe huwezi kulifuta hilo, maana bila yeye usingekuwepo duniani leo, anastahili pongezi yake kwa kukuleta duniani.
Neno gani unapenda kumwambia mama yako popote pale alipo?
 
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment