TOP 20: Kocha wa Ligi Kuu England anayeongoza kuvaa saa yenye thamani zaidi ya makocha wote



Mtandao wa dailymail.co.uk umetoa list ya thamani ya saa za makocha wa Ligi Kuu England, dailymaily.co.uk umetaja thamani ya saa wanazotumia makocha wote 20 wa timu za Ligi Kuu England huku kocha wa Burnley Sean Dyche ndio amekuwa namba moja kwa kuvaa saa yenye thamani zaidi.
3bb038df00000578-4071652-image-m-72_1482968491400
3ba67a8300000578-4071652-image-a-73_1482968500733
Saa anayotumia Sean Dyche ndio yenye thamani zaidi ya makocha wote wa Ligi Kuu England waliyonaswa wakiwa wamezivaa, saa Sean Dyche inatajwa kuwa na thamani ya pound 45,000 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 120, Saa anayotumia Sean Dyche inaitwa Patek Philippe 5990/1A.
3bb038be00000578-4071652-image-a-21_1482971928787
List ya thamani ya saa za makocha wote katika Ligi Kuu England

Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment