

Uzinduzi huo ambapo Professor Jay na Sugu walishirkiana kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa, ulizinduliwa kwa mchezo mmoja kupigwa kati ya Buffalo FC kutoka kijiji cha Doma dhidi ya timu ya Magomeni Stars kutoka kata ya Magomeni, hata hivyo mchezo huo ulimalizika kwa Buffalo FC kuibuka na ushindi wa goli 2-0.
0 comments:
Post a Comment