Rapa maarufu kutoka nchini Kenya, King Kaka amekamatwa na askari wa usalama mapema jijini Nairobi.Kwa mujibu wa shahidi amesema kuwa rapa huyo alishuka kwenye gari lake nakisha kukamatwa na afisa usalama waliomtia pingu bila kujulikana ninini kisa cha yeye kupigwa pingu nakuwa chini ya ulinzi.
0 comments:
Post a Comment