Wakati Chelsea wakiwa wanatarajia kumkosa staa wao Willian kutokana na kufiwa na mama yake, wachezaji wengine ambao wanatarajiwa kuwa nje ya uwanja ni Harry Kaneambaye bado anasumbuliwa na majeruhi, kwa upande wa Arsenal Lucas Perezatakuwepo uwanjani lakini Oliver Giroud bado majeruhi.
Kwa upande wa Man United Luke Shaw na Mkhitaryan wanaendelea vizuri licha ya kuwa waliripotiwa kutokuwa na uwezo wa kurejea uwanjani mapema, wakati hayo yakiendelea kocha wa Tottenham Hotspurs Mauricio Pochettino amethibitisha kuwa kiungo wao Moussa Dembele ni majeruhi.
0 comments:
Post a Comment