Fahamu Umuhimu wa Kumfanyia Mtoto Massage


Mtoto anapozaliwa kuna vitu vingi anatakiwa kufanyiwa ili apevuke vizuri na nimekutana na hili moja kati ya hayo ambalo nsingependa likupite mtu wangu, Kituo cha habari cha Kenya ‘Citizen’ kimeripoti kuwa ukandaji wa mtoto mdogo unamanufaa mengi ambayo yametajwa kama kumtuliza mtoto, kumsaidia kuimarisha viungo vyake na kumpa usingizi mnono mtoto mchanga.

Nakusogezea video hapa chini inayoelezea zaidi ukandaji wa namna gani unatakiwa kwa mtoto unaoelezewa na mhudumu wa afya wa hospitali moja Malindi mjini, Kenya.
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment