Ndege iliyokuwa ikienda Mollarca, Hispania imelazimika kutua uwanja wa ndege ya Manchester baada ya ndege kutumbukia ndani ya moja ya injini.
Ndege hiyo ya Kampuni ya Thomas Cook namba TCX47MG ilitokea Glasgow majira ya 12.17 asubuhi na ilikuwa inakaribia kufika Hispania.
0 comments:
Post a Comment