Mbwana Samatta Afanya Mambo Tena Genk...Tazama Goli lake la Ushindi Alilofunga Jana





Mbwana Samatta anazidi kuonyesha uwezo mzuri wa kupachika mabao baada ya
jana kupachika bao lililoipa ushindi Genk wa bao mbili kwa moja dhidi
ya Oostende.,

Mbwana Samatta aliingia uwanjani dakika ya 80 na katika dakika 91 akapachika bao


Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment