LEWIS HAMILTON ATWAA TAJI LA TATU LA BRITISH GRAND PRIX


Dereva wa mbio za langalanga Muingereza Lewis Hamilton amefanikiwa kushinda taji la tatu mfululizo la British Grand Prix.

Drereva mwenzake wa timu ya Mercedes Nico Rosberg alipigana kiume na kumaliza wa pili, kwa kumpita Max Verstappen.

Hata hivyo Rosberg alijikutwa akipigwa penati kwa kosa la kupata msaada wa maelekezo ya kuendesha gari licha ya kupata hitilafu katika mfumu wa gia na kurudishwa nafasi ya tatu.
       Lewis Hamilton akiwa amesimama juu ya gari lake mara baada ya kushinda mbio
Lewis Hamilton akiwa amebebwa juu juu na mashabiki wake wakishangilia ushindi
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment