Baada ya kufurahia kufunga ndoa yao ya kifahari waliyofunga kwenye ukumbi wa Jiji huko Venice siku ya jumanne Bastian Schweinsteiger na mkewe Ana Ivanovic wamefunga tena ndoa hapo jana safari hii ikiwa ni ndoa ya kidini.
Kapteni wa timu ya taifa ya Ujerumani Bastian Schweinsteiger akiwa na mkewe mchezaji tenesi Ana Ivanovic baada ya kufunga ndoa ya kanisani jana
0 comments:
Post a Comment