Polisi nchini Ufaransa wameripotiwa kutumia mabomu ya machozi kwa mashabiki wa soka wa Uingereza waliopo mji wa Marseille kufuatia kuibuka ghasia baada ya mashabiki hao waliolewa kuanza kuimba mpo wapi IS.
Polisi wa kutuliza ghasia wametumia mabomu ya machozi pamoja na virungu baada ya mapigano kutokea kwenye baa mbili ambazo mamia ya mashabiki walikuwa wanakunywa usiku wa Alhamis, karibu na eneo la bandari ya zamani.
Moshi wa mabomu ya machozi ukionekana katika eneo hilo
Mashabiki wa Uingereza waliolewa wakiwa kando ya barabara
0 comments:
Post a Comment