NYANI AANGUKA MITAMBONI NA KUSABABISHA KENYA KUKOSA UMEME


Nyani mmoja amesababisha kukosekana umeme karibu nchi nzima ya Kenya baada ya kuanguka kwenye eneo muhimu la mitambo ya umeme.

Nyani huyo aliangukia kwenye transfoma katika bwawa kuu la kuzalisha umeme Kenya la Gitaru siku ya jumanne, taarifa ya kampuni ya umeme ya KenGen imeeleza.

Kitendo cha nyani huyo kuangukia transfoma kilisababisha kujizima na umeme wa megawati 180 kukosekana jambo lililopelekea maeneo mengi ya Kenya kuwa gizan
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment