Home
KIMATAIFA
Kenya imesema itafunga kambi zake za wakimbizi ifikapo mwezi Novemba mwaka huu. Kenya imesema serikali itarejesha wakimbizi wote- wapatao laki sita- makwao, au katika nchi zitakazokubali kuwapokea. Nini maoni yako kuhusu hatua hii?
Kenya imesema itafunga kambi zake za wakimbizi ifikapo mwezi Novemba mwaka huu. Kenya imesema serikali itarejesha wakimbizi wote- wapatao laki sita- makwao, au katika nchi zitakazokubali kuwapokea. Nini maoni yako kuhusu hatua hii?
0 comments:
Post a Comment