Diamond Platnumz Ategua Kitendawili..Amsainisha Rasmi Rich Mavoko Kwenye Lebo yake ya WCB

Mwanamuziki Diamond amemchukua rasmi mwanamuziki Rich Mavoko na sasa atakuwa chini ya lebo yake ya Wasafi ..

Baada ya tetesi nyingi sasa leo rasmi amemtangaza mwanamuziki huyu kuwa chini ya lebo yake

Ameandika haya katika ukurasa wake wa Instagram

From @diamondplatnumz  -  Wolcome to the Family @richmavoko Let's take Bongo fleva to the world!

Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment