BABA APANDWA NA HASIRA NA KUMRUKIA MUUAJI WA BINTI YAKE MAHAKAMANI



Baba wa binti aliyeuliwa na mtuhumiwa wa ukatili wa kingono na mauaji amemrukia mahakanani muuaji huyo na kuibua tafrani punde tu baada ya mahakama kumtia hatiani na kumhukumu adhabu ya kifo nchini Marekani.

Muaji huyo Michael Madison amehukumiwa adhabu ya kifo kwa kumuua Shirelda Terry, 18, Angela Deskins, 38, na Shetisha Sheele, 28, huko Ohio Julai 2013.

Baba wa marehemu Shirelda Terry, Van Terry alikuwa akiielezea mahakama namna alivyompoteza binti yake, baada ya muuaji wake kuhukumiwa adhabu ya kifo, na ghafla alimrukia muaji huyo aliyekuwa akitabasamu.
     Maafisa wa Mahakama na polisi wakijaribu kumdhibiti Baba wa marehemu Shirelda
                                                                           Marehemu Shirelda Terry
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment