VIDEO: Top 10 ya mashambulizi hatari yaliompita kipa, yakaokolewa na beki


May 15 2016 mtu wangu wa nguvu ambaye unapenda mchezo wa mpira wa miguu, naomba nikukutanisha na mashambulizi hatari ndani ya mchezo wa soka yaliofanikiwa kuokolewa dakika za mwisho na mabeki baada ya golikipa kupitwa, haya ni mashambulizi ambayo mabeki wameokoa katika position ambazo asilimia kubwa inaaminika kuwa mpira utaingia wavuni.

Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment