Basi la Mwendo Kasi Lagonga na Kuua Mtoto Jijini Dar es Salaam Unknown 12:32:00 PM KITAIFA Edit Basi la mwendo kasi ( DART) limemgonga na kumuua mtoto huku mama yake akinusurika baada ya pikipiki waliyokuwa wamepanda kushindwa kulipita basi hiloAjali hiyo imetoke leo katika eneo la Shekilango jijini Dar es Sallam. Share Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus Share About Unknown Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774 RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment