Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akikata utepe huku viongozi wengine wakiushikilia kuashiria uzinduzi
rasmi wa Daraja la Kigamboni katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar
es salaam leo Aprili 19, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akipata picha ya kumbukumbu viongozi wengine baada ya uzinduzi rasmi wa
Daraja la Kigamboni katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es
salaam leo Aprili 19, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli
akiteta jambo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt Ramadhani Dau
wakati wa uzinduzi rasmi wa Daraja la Kigamboni katika wilaya mpya ya
Kigamboni jijini Dar es salaam leo Aprili 19, 2016
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na
viongozi wengine wakitembea juu ya Daraja la Kigamboni baada ya
kulizindua katika wilaya mpya ya Kigamboni jijini Dar es salaam leo
Aprili 19, 2016
0 comments:
Post a Comment