Mahakama Jijini Paris nchini
Ufaransa imetoa uamuzi kuwa kumuita shoga kinyozi wa kiume sio tusi
la kukera kwa kuwa saluni nyingi huajiri vinyozi mashoga.
Uamuzi huo wa mahakama unafuatia
kesi iliyofunguliwa na kinyozi ambaye alifukuzwa kazi na bosi wake
baada ya kutofika kazini kutokana na kuwa mgonjwa.
0 comments:
Post a Comment