BONDIA MANNY PACQUIAO ASTAAFU NDONDI KWA USHIDI DHIDI YA TIMOTHY BRADLEY

Bondia Manny Pacquiao amemdunda Timothy Bradley kwa uamuzi wa majaji wote, katika mchezo wake wa mwisho Mfilipino huyo aliotangaza kujiuzulu ndoni.

Majaji wote watatu walimpa ushindi Pacquiao kwa alama 116-110, katika pambano hilo lililofanyika Jijini Las Vegas.

Pacquiao, 37, aliamuangusha chini Mmarekani Bradley, 32, katika raundi ya saba na ya tisa katika mpambano wao wa tatu wa uzito wa welterweight.
                Bondia Timothy akienda chini baada ya kupigwa ngumi na Pacquiao
Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment