Majaji wote watatu walimpa ushindi Pacquiao kwa alama 116-110, katika pambano hilo lililofanyika Jijini Las Vegas.
Pacquiao, 37, aliamuangusha chini Mmarekani Bradley, 32, katika raundi ya saba na ya tisa katika mpambano wao wa tatu wa uzito wa welterweight.
Bondia Timothy akienda chini baada ya kupigwa ngumi na Pacquiao
0 comments:
Post a Comment