Baada ya kushinda taji la BNP Paribas huko India Wells,alitetea kiwango cha mashabiki kuangazia kiwango cha fedha kinachotolewa kwa wanamichezo wa jinsia zote mbili.
Awali,mkurugenzi mkuu wa mashindano ya Indian Wells Ray Moore alisema kuwa michuano ya WTA inafanikishwa kutokana na kiwango cha mashabiki wanaowashabikia wachezaji wa kiume.
Mchezaji huyo wa Serbia alisema kuwa wanawake walipiginia walichokuwa wakitaka na wakapata,na kwamba wachezaji wanaume wanafaa kupigania haki zao zaidi.
0 comments:
Post a Comment