BAADA YA KUTIMULIWA KOCHA STEVE MCCLAREN APONDA RAHA CARIBBEAN

Kocha wa Newcastle United aliyetimuliwa kazi Steve McClaren ameonekana akifurahia wakati huu wa mapumziko bila ya kibarua baada ya kunaswa akiwa na mkewe Kathryn kwenye fukwe huko Caribbean.

McClaren alitimuliwa baada ya kuiongoza timu hiyo kwa miezi tisa akiwa St James' Park na baada ya hapo McClaren ameamua kupoteza mawazo ya kutimuliwa kazi kwa kujirusha ufukweni.
            Kocha McClaren akiendesha pikipiki ya majini akiwa amempakia mkewe 

Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment