Wizara ya afya ya Misri imetoa tahadhari kwa wananchi hasa wenye umri mkubwa na wenye magonjwa sugu kama shinikizo la damu, kisukari na ugonjwa wa moyo kuchukua tahadhari na kutokaa kwenye maeneo yenye jua hususan mida ya jioni na kutotoka majumbani bila sababu ya msingi.
Msemaji wa mamlaka ya hali ya hewa ya Misri Bw Wahid Saudi amesema hali ya joto kali itaendelea hadi mwisho wa mwezi Agosti.
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment