Wamiliki wa Ghala hatiani China


Chombo cha habari cha taifa la China kimetangaza kuwa ,wamiliki wawili wa ghala ambazo zilisababisha mlipuko mkubwa wiki iliyopita walipata kibali cha kuhifadhi bidhaa hizo zenye madhara kwa njia ya kujuana.
Wamiliki hao walipata kibali batili kinachowaruhusu kuwa na ghala hilo karibu na makazi ya watu wakati sheria hairuhusu.
shirika la habari la Xinhua,nchini China limesema kuwa mmoja wa wamiliki ni mtoto wa polisi mkuu wa zamani wa eneo hilo wakati mwingine alikuwa kigogo wa kampuni ya taifa ya kemikali .
Hata hivyo wamili wote wawili wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kusababisha mlipuko mkubwa uliosababisha vifo vya watu wapatao mia moja na kumi na wanne.
P yhaa tv come soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 

face book ipyana stephen



  Share



usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 

Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment