UMOJA WA MATAIFA UPO TAYARI KUCHUKUA HATUA KWA RAIS SALVA KIIR

Umoja wa Mataifa umesema upo tayari kuchukua hatua, iwapo rais wa Sudani Kusini Salva Kiir hajatia saini makubaliano ya amani na waasi.

Kiir anatarajiwa kutia saini makubaliano ya kumaliza miezi kadhaa ya vita ya kikatili hii leo, kiongozi wa waasi Riek Machar alitia saini makubaliano hayo wiki iliyopita.

Mapigano baina ya vikosi vitiifu vya viongozi hao wawili vimepelekea watu milioni 2.2 kukosa makazi.
P yhaa tv coming soon

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
 


face book ipyana stephen






  Share


















usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 





Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment