Headlines kutoka Marekani zinaandikwa na superstaa wa muziki wa R&B Pop Taylor Swift
baada ya taarifa kusambaa kuwa amepiga chini dili ya kutoa show kwenye
harusi ya Billionea, dili ambalo lingempatia superstaa huyo kiasi cha Billion 4.4 (USD 2 Million).
Kutokana na taarifa zinazosambaa kwenye mitandao, Taylor Swift alipewa ofa ya kulipwa dola Million 1 (Billion 2.2)
kwa kila wimbo ambao angependa kuuimba kwenye harusi hiyo na bonus
nyingine ya pesa kama angechukua time kukaa na kupiga stori na bibi na
bwana harusi… lakini bado staa huyo aliipiga chini ofa hiyo.
Sababu zilizowekwa wazi na baadhi ya blogs zinasema kwamba Taylor Swift aliikataa ofa hiyo kwa ajili ya kwenda kuimba bure kwenye ubatizo wa mtoto wa rafiki yake ambako Taylor ni mama wa ubatizo wa mtoto huyo.
Taylor
Swift na mtoto wa Kyle Newman ‘Leo’. Taylor alikutana na mtoto huyo
kwa mara ya kwanza baada ya kutajwa kuwa mama wa ubatizo.
Kwenye ubatizo huo Taylor Swift alienda na boyfriend wake Calvin Harris na bendi yake na kutoa show ya nyimbo zake kali zikiwemo; Love Story, I Knew You Were Trouble na Red.
Taylor Swift na rafiki yake Kyle Newman.
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment