Ikiwa imeshinda mechi tatu mfululizo katika msimu mpya wa ligi kuu ya
Uingereza, klabu ya Manchester City leo imeendelea kuilinda rekodi yake
ya kushinda kwa 100% katika mfululizo wa mechi BPL.

Wakiwa kwenye uwanja wa nyumbani wa Etihad, City wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya timu iliyopanda daraja la Watford.

Raheem Sterling aliyenunuliwa kwa ada ya £49m kutoka Liverpool leo alifunga goli la kwanza katika msimu mpya Barclays Premier League na Fernadinho akifunga goli lingine.
Arsenal vs Newcastle
Goli pekee lilofungwa na Alexander Chamberlain lilitosha kuipa Arsenal ushindi dhidi ya timu ngumu ya Newcastle katika mchezo uliofanyika mapema leo mchana katika uwanja wa St James Park.
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos
Wakiwa kwenye uwanja wa nyumbani wa Etihad, City wameibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya timu iliyopanda daraja la Watford.
Raheem Sterling aliyenunuliwa kwa ada ya £49m kutoka Liverpool leo alifunga goli la kwanza katika msimu mpya Barclays Premier League na Fernadinho akifunga goli lingine.
Arsenal vs Newcastle
Goli pekee lilofungwa na Alexander Chamberlain lilitosha kuipa Arsenal ushindi dhidi ya timu ngumu ya Newcastle katika mchezo uliofanyika mapema leo mchana katika uwanja wa St James Park.
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment