Daraja la Kigamboni ambalo kwa sasa ujenzi wake unaendelea huenda likaingia kwenye rekodi ya madaraja makubwa Afrika Mashariki.
Lakini ukuaji wa teknolojia duniani hasa sekta ya miundombinu imeendelea kukua zaidi hasa kwa nchi zilizoendelea na katika pitapita zangu nimekutana na haya madaraja makubwa kabisa duniania mbayo yanaongoza kwa kujengwa kwa gharama kubwa.
Hapa nimekuwekea haya 10 mtu wangu…
6. San Francisco – Oakland Bay Bridge, lipo katika mji wa San Francisco Bay – gharama yake ni dola bilioni 1.3
10 Chesapeake Bay Bridge, lipo Maryland – gharama yake ni dola milioni 778.3
P yhaa tv coming soon
Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share
face book ipyana stephen
Share
Share
instagram p yhaa tv
instagram p yhaa tv
usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

0 comments:
Post a Comment