AZAM FC YATUMA SALAMU KWA YANGA


Mabingwa wa soka Afrika mashariki na kati, Azam FC jana usiku wameanza vyema mechi za kirafiki mjini Zanzibar kufuatia kuitandika 1-0 KMKM ya visiwani humo katika mchezo uliopigwa uwanja wa Amaan.
Goli pekee la ushindi la Azam lilifungwa na Gadiel Michael Mbaga akimalizia pasi ya winga mpya ambaye alicheza kwa mara ya kwanza tangu asajiliwe kutoka Simba, Ramadhan Singano 'Messi'.
RATIBA YA MECHI NYINGINE:
Jumamosi 15/08/2015 Azam FC vs Mafunzo Saa 1:00 usiku
Jumatatu 17/08/2015 Azam FC vs JKU saa 1:00 usiku

Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori ZOTE
share








usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos 

Share on Google Plus

About Unknown

Unaweza kuwasiliana nasi kupitia; Email: Epyanastephene@gmail.com Phone:0719337774

0 comments:

Post a Comment